politics

Monday, 18 May 2015

List ya washindi wote #BillboardAwards2015.. Pichaz za mastaa wote Red carpet

TAY

Billboard Music Awards 2015 ndio habari kubwa kwenye headlines za burudani Marekani kuanzia jana  tarehe May 17 2015.. Sherehe ya Tuzo hizo kubwa kwenye muziki zimefanyika ukumbi wa Grand Garden Arena, Las Vegas.
MC waliokuwa kwenye stage mwanzo mpaka mwisho ilikuwa ni rapper Ludacris naChrissy Teigan.
 Taylor Swift kaongoza kuzikusanya Tuzo nyingi zaidi kuliko msanii yoyote.. ana jumla ya Tuzo 8, Sam Smith na Iggy Azalea wao wana Tuzo mbili kila mmoja

LAS VEGAS, NV - MAY 17:  Rapper Iggy Azalea attends the 2015 Billboard Music Awards at MGM Grand Garden Arena on May 17, 2015 in Las Vegas, Nevada.  (Photo by Jason Merritt/Getty Images)iggy azalea
saaamsam smith
Hapa ninazo zao nyingine kwenye mwonekano wa Red Carpet
taylor-swift-bbmas-red-carpet-2015-billboard-400tylor swift
chris-brown-daughter-bbmas-red-carpet-2015-billboard-450
chris brown


LAS VEGAS, NV - MAY 17:  Actress/singer Jennifer Lopez attends the 2015 Billboard Music Awards at MGM Grand Garden Arena on May 17, 2015 in Las Vegas, Nevada.  (Photo by Steve Granitz/WireImage)

Hii ni orodha ya Washindi wa tuzo za Billboard Music Awards 2015;
TOP ARTIST
Ariana Grande
One Direction
Katy Perry
Sam Smith
Taylor Swift — WINNER
TOP COUNTRY ARTIST
Jason Aldean
Luke Bryan
Florida Georgia Line — WINNER
Brantley Gilbert
Blake Shelton
BILLBOARD CHART ACHIEVEMENT AWARD PRESENTED BY SAMSUNG GALAXY (FAN-VOTED)
Iggy Azalea
Taylor Swift — WINNER
Meghan Trainor
TOP TOURING ARTIST
Lady Gaga
One Direction — WINNER
Katy Perry
The Rolling Stones
Justin Timberlake
TOP FEMALE ARTIST
Iggy Azalea
Ariana Grande
Katy Perry
Taylor Swift — WINNER
Meghan Trainor
TOP RADIO SONG
John Legend, “All of Me” — WINNER
MAGIC!, “Rude”
Nico & Vinz, “Am I Wrong”
Sam Smith, “Stay With Me”
Pharrell Williams, “Happy
TOP MALE ARTIST
Drake
Pharrell Williams
Ed Sheeran
Sam Smith — WINNER
​Justin Timberlake
TOP RAP SONG
Iggy Azalea feat. Charli XCX, “Fancy” — WINNER
Iggy Azalea feat. Rita Ora, “Black Widow”
Big Sean feat. E-40, “I Don’t F— With You”
Nicki Minaj, “Anaconda”
Bobby Shmurda, “Hot Boy”
TOP BILLBOARD 200 ALBUM
Maroon 5, V
Pentatonix, That’s Christmas to Me
Ed Sheeran, x
Sam Smith, In the Lonely Hour
Taylor Swift, 1989  — WINNER
TOP DUO/GROUP
5 Seconds of Summer
Florida Georgia Line
MAGIC!
Maroon 5
One Direction  — WINNER
TOP NEW ARTIST
5 Seconds of Summer
Iggy Azalea
Hozier
Sam Smith — WINNER
Meghan Trainor
TOP BILLBOARD 200 ARTIST
One Direction
Pentatonix
Ed Sheeran
Sam Smith
Taylor Swift — WINNER
TOP HOT 100 ARTIST
Iggy Azalea
Ariana Grande
Sam Smith
Taylor Swift — WINNER
Meghan Trainor
TOP DIGITAL SONGS ARTIST
Iggy Azalea
Ed Sheeran
Sam Smith
Taylor Swift — WINNER
Meghan Trainor
TOP RADIO SONGS ARTIST
John Legend
Maroon 5
Ed Sheeran
Sam Smith — WINNER
Taylor Swift
TOP SOCIAL ARTIST
Justin Bieber — WINNER
Miley Cyrus
Selena Gomez
Ariana Grande
Taylor Swift
TOP STREAMING ARTIST
Iggy Azalea — WINNER
Ariana Grande
Nicki Minaj
Taylor Swift
Meghan Trainor
TOP R&B ARTIST
Beyoncé
Chris Brown
John Legend
Trey Songz
Pharrell Williams — WINNER
TOP RAP ARTIST
Iggy Azalea — WINNER
J. Cole
Drake
Nicki Minaj
Rae Sremmurd
TOP ROCK ARTIST
Bastille
Coldplay
Fall Out Boy
Hozier — WINNER
Lorde
TOP LATIN ARTIST
J Balvin
Juan Gabriel
Enrique Iglesias
Prince Royce
Romeo Santos — WINNER
TOP DANCE/ELECTRONIC ARTIST
Avicii
Clean Bandit
Disclosure
Calvin Harris — WINNER
Lindsey Stirling
TOP CHRISTIAN ARTIST
Casting Crowns
Hillsong United — WINNER
Lecrae
MercyMe
Newsboys
TOP SOUNDTRACK
The Fault in Our Stars
Fifty Shades of Grey

Frozen — WINNER
Guardians of the Galaxy: Awesome Mix: Vol. 1
Into the Woods
TOP R&B ALBUM
Beyoncé, Beyoncé
Chris Brown, X
Michael Jackson, Xscape
John Legend, Love in the Future
Pharrell Williams, G I R L — WINNER
TOP RAP ALBUM
J. Cole, 2014 Forest Hills Drive — WINNER
Drake, If You’re Reading This It’s Too Late
Nicki Minaj, The Pinkprint
Iggy Azalea, The New Classic
Eminem, The Marshall Mathers LP 2
TOP COUNTRY ALBUM
Jason Aldean, Old Boots, New Dirt — WINNER
Garth Brooks, Man Against Machine
Luke Bryan, Crash My Party
Brantley Gilbert, Just As I Am
Miranda Lambert, Platinum
TOP ROCK ALBUM
AC/DC, Rock or Bust
The Black Keys, Turn Blue
Coldplay, Ghost Stories — WINNER
Hozier, Hozier
Lorde, Pure Heroine
TOP LATIN ALBUM
Juan Gabriel, Los Dúo
Enrique Iglesias, Sex and Love — WINNER
Romeo Santos, Formula: Vol. 2
Santana, Corazon
Marc Anthony, 3.0
TOP DANCE/ELECTRONIC ALBUM
Avicii, True
Disclosure, Settle
Calvin Harris, Motion
Skrillex, Recess
Lindsey Stirling, Shatter Me — WINNER
TOP CHRISTIAN ALBUM
Lecrae, Anomaly — WINNER
Casting Crowns, Thrive
MercyMe, Welcome to the New
NEEDTOBREATHE, Rivers in the Wasteland
Chris Tomlin, Love Ran Red
TOP HOT 100 SONG
Iggy Azalea feat. Charli XCX, “Fancy”
John Legend, “All of Me”
Sam Smith, “Stay With Me”
Taylor Swift, “Shake It Off”
Meghan Trainor, “All About That Bass”
TOP DIGITAL SONG
Mark Ronson feat. Bruno Mars, “Uptown Funk!”
Sam Smith, “Stay With Me”
Taylor Swift, “Shake It Off”
Meghan Trainor, “All About That Bass” — WINNER
Pharrell Williams, “Happy
TOP STREAMING SONG (AUDIO)
Iggy Azalea feat. Charli XCX, “Fancy”
Hozier, “Take Me to Church”
John Legend, “All of Me” — WINNER
Sam Smith, “Stay With Me”
Tove Lo, “Habits (Stay High)”
TOP STREAMING SONG (VIDEO)
Idina Menzel, “Let It Go”
Bobby Shmurda, “Hot Boy”
Taylor Swift, “Blank Space”
Taylor Swift, “Shake It Off” — WINNER
Meghan Trainor, “All About That Bass”
TOP R&B SONG
Chris Brown feat. Lil Wayne, French Montana, Too $hort & Tyga, “Loyal”
Jason Derulo feat. 2 Chainz, “Talk Dirty”
Jeremih feat. YG, “Don’t Tell ‘Em”
John Legend, “All of Me”
Pharrell Williams, “Happy” — WINNER
TOP COUNTRY SONG
Jason Aldean, “Burnin’ It Down” — WINNER
Luke Bryan, “Play It Again”
Sam Hunt, “Leave the Night On”
Florida Georgia Line feat. Luke Bryan, “This Is How We Roll”
Florida Georgia Line, “Dirt”
TOP ROCK SONG
Bastille, “Pompeii”
Coldplay, “A Sky Full of Stars”
Fall Out Boy, “Centuries”
Hozier, “Take Me to Church” — WINNER
Paramore, “Ain’t It Fun”
TOP LATIN SONG
J Balvin feat. Farruko, “6 AM”
Enrique Iglesias feat. Descemer Bueno & Gente de Zona, “Bailando” — WINNER
Romeo Santos, “Eres Mía”
Romeo Santos feat. Drake, “Odio”
Romeo Santos, “Propuesta Indecente”
TOP DANCE/ELECTRONIC SONG
Clean Bandit feat. Jess Glynne, “Rather Be”
Disclosure feat. Sam Smith, “Latch”
DJ Snake & Lil Jon, “Turn Down For What” — WINNER
Ariana Grande feat. Zedd, “Break Free”
Calvin Harris, “Summer”
TOP CHRISTIAN SONG
Francesca Battistelli, “He Knows My Name”
Hillsong United, “Oceans (Where Feet May Fail)”
MercyMe, “Greater”
Newsboys, “We Believe”
Carrie Underwood, “Something in the Water” — WINNER



Wednesday, 29 April 2015

Kingine kikubwa kwenye HEADLINES ni hii stori ya uzinduzi wa Meli kubwa 2 za kivita DAR..


16
Kutoka Dar es Salaam leo April 28  2015 kingine ambacho kimechukua nafasi kubwa kwenye HEADLINES ni hii stori ya uzinduzi wa Meli kubwa mbili za Kivita ambazo zimezinduliwa na Rais Kikwete
Meli zimekabidhiwa kwa Kikosi cha Jeshi la Maji TZ Kigamboni.. Hapa unaweza kuona pichaz kutoka kwenye uzinduzi wa Meli hizo.
15
16
15
255

Meli hizi zitakuwa zikitumiwa kwenye patrol katika eneo la Bahari.

Sunday, 5 April 2015

Serikali ya Kenya yamtambua muuaji

Wanafunzi wa chuo kikuu cha Garissa wakitoroka shambulio


Serikali ya Kenya imemtambua mmoja ya wapiganaji waliohusika katika mauaji ya chuo kikuu cha Garissa kwamba ni mtoto wa afisa wa serikali.
Msemaji wa wizara ya ndani amesema kuwa Abdirahim Abdullahi ni miongoni mwa watu wanne walioshambulia chuo kikuu cha Garissa siku ya alhamisi na kuwaua watu 148.
Mtu huyo sasa ametambulika kama mwana wa kiume wa Chifu wa eneo la Kazkazini mashariki mwa kenya.

Alidaiwa kutoweka na ilihofiwa kwamba amesafiri nchini Somalia.
Wizara ya ndani inasema kuwa wapiganaji wote waliuawa siku ya alhamisi.
Washukiwa wengine watano wamakamatwa kufikia sasa kwa kuhusishwa na mauaji hayo ambayo ni mabaya zaidi kuwahi kutekelezwa na kundi la wapiganaji wa Alshabaab.

Saturday, 4 April 2015

Reginald Mengi amefunga ndoa na kyln

Harusi hii ambayo imefungwa kwenye ardhi ya nchi ya Mauritius kwenye mwisho wa mwezi March 2015.
Hii ndoa pia ilishuhudiwa na watoto wao wawili mapacha kama wanavyoonekana kwenye picha pamoja na marafiki wengine wa familia pamoja na ndugu ambao idadi yao inafikia 50.












Mimi Dr. Reginald Mengi naahidi kumpenda Jacqueline Ntuyabaliwe katika shida na raha hadi kifo kitutenganishe
Ilikuwa ni furaha, upendo wa dhati na shangwe pomoni.
Baada ya miaka kadhaa ya uhusiano thabiti na uliokuwa umetawaliwa na upendo usio kifani, Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Limited, Dr. Reginald Mengi na Miss Tanzania, 2000, Jacqueline Ntuyabaliwe wamefunga ndoaWawili hao wamebahatika kupata watoto wawili mapacha pamoja. Watoto hao wa kiume nao waliungana na wazazi wao kushuhudia wazazi wao wakibadilisha viapo vya ndoa
 
 
 
Dr. Mengi na mke wake Jacqueline wakiwa wamewashika mikono watoto wao mapacha wakati wakitembea kwenye moja ya fukwe za bahari ya Hindi nchini Mauritius ilikofungwa ndoa yao
Kwa mujibu wa watu wao wa karibu waliohudhuria, sherehe hiyo ilitawaliwa na furaha ya hali ya juu.
 
 
 
 
 

Thursday, 2 April 2015

Kijana tajiri Afrika ni Mtanzania








Mfanyabiashara maarufu nchini na Mbunge wa Singida Mjini (CCM), Mohammed Dewji (pichani) kwa mara ya kwanza ameingia kwenye orodha ya mabilionea 29, akiwa tajiri kijana kuliko wote barani Afrika.


Jarida la Forbes la Marekani limemtaja Dewji (39), katika nafasi ya 24 ya matajiri wa Afrika akiwa na utajiri wa Dola 1.3 bilioni za Marekani (Sh2.34 trilioni) unaotokana na biashara mbalimbali anazozifanya kupitia kampuni yake ya Mohammed Enterprises (Metl Group).“Dewji alibadilisha biashara aliyoanzisha baba yake kutoka uuzaji bidhaa na kuwa na viwanda vya Metl,” inasema sehemu ya habari inayomuhusu bilionea huyo Mtanzania
 
 “Alinunua viwanda vya nguo na mafuta vilivyokuwa vinamilikiwa na Serikali kwa bei ndogo na kuvifanya viwe na faida zaidi kwa kutumia mtindo wa kisasa wa menejimenti,”
 Metl ina viwanda vya kutengeneza nguo na bidhaa nyingine za matumizi ya binadamu vikiwamo vyakula, sabuni na vinywaji. Pia ina mapato yanayozidi Dola 1.4 milioni za Marekani (Sh2.5 trilioni) kwa mwaka

Mmiliki wa Facebook amenunua huu upande wa kisiwa cha Hawaii.

Mmiliki wa mtandao wa kijamii wa Facebook Mark Zuckerberg amenunua sehemu kubwa ya kisiwa cha Hawaii iitwayo Kauai ambayo ni hekari 700 kwa dola za Kimarekani milioni 100 ambapo atakuwa anamiliki eneo kubwa ambalo litaendana na hadhi ya bilionea, jarida la Forbes limeripoti.
Hekari hizo 700 zitajumuisha beach resort, mashamba ya miwa na kilimo hai ambapo kwa sheria za Hawaii beach resort hiyo lazima iachwe wazi kwa matumizi ya jamii kwa sababu kisiwa hiko hakina sheria ya umiliki binafsi wa mchanga.
mark
Kisiwa cha Hawaii
Zuckerberg ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 30 anamiliki dola za Kimarekani billion 33 na anakua ni bilionea wa pili kununua sehemu ya Hawaii.
Mwaka jana mwenyekiti wa Oracle Larry Ellison alinunua upande mzima wa Lanai, Hawaii kwa dola milioni 600 ambapo stori nyingine  zinasema Zuckerbug nae anaweza akawa na nia ya kuanzisha majengo upande huo wa Lanai baada ya kuonekana na mkewe Priscilla Chan kwenye maeneo hayo.
mark1
Mark Zuckerberg na mke wake Priscilla Chan
Haya yatakua maendeleo mengine ya Zuckerberg kwani mwaka 2010 alikodisha jengo lake ambalo lipo karibu na makao makuu  ya office za Faceboook na mwaka uliofata aliongeza makazi yenye thamani ya dola za Kimarekani milioni 7 huko Palo Alto, California, Marekani ambapo pia baada ya muda mfupi alitumia dola milioni 30 kununua nyumba nne ambazo ziliunganishwa na makazi yake ya Palo Alto.
mark3
Nyumba ya Mark Zuckerberg

FLOYD MAYWEATHEER KAMNUNULIA MWANAE WA MIAKA 14 ZAWADI YA GARI

http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/flo1.jpgSasa pamoja na utajiri wa magari aliokuwa nao Mayweather ameamua kumnunulia binti yake wa kike mwenye miaka 14 gari ya kifahari aina ya  Rolls Royce yenye thamani ya dola za Kimarekani laki nne.
fusBinti yake Obi Okeke alifafanua kuwa baba yake alimwita na kumwagizia gari hiyo huku akisema itakuwa ikisimamiwa na mama yake lakini mtoto huyo atakua huru kuitumia wakati wote.
floyd
Mayweather na mtoto wake.

Wednesday, 1 April 2015

MJUE MODEL HUYU

Huyu ni moja kati ya ma models wenye umri mdogo walio shiriki katika moja ya tamasha kubwa mwaka jana 2014  kwenye TUSIIME APEX BASH na aliweza kufanya mambo makubwa kama alivyo andaliwa na designer wake DETRICIA DENNIS

HUYU NDIO MTOTO WA MIAKA 3 ANAYEFANYA MAAJABU YA KUKOKOTOA HESABU MPAKA ZA A-LEVEL

Huyu mtoto ana miaka 3 anaitwa Nice, kwao ni Kiteto kijijini huko Manyara.

Lakini cha ajabu ana uwezo wa kufanya hesabu za Sekondari na nyingine ngumu kwa uwezowa kutisha na kuongea kiingereza fasaha kabisa bila kigugumizi. Ukimuongelesha kiswahi li anakwambia'Please speak english'. Cha kushangaza zaidi ni kwamba tangu azaliwe hajawahi kwenda shule au kuhudhuria darasa la aina yoyote.


Na kama ujuavyo mazingira ya kijiji watu huzungumza lugha ya eneo husika lakini yeye ameweza kuongea kingereza bila kujua wapi amejifunza. na unaambiwa wakati mwingine huwafundisha wanafunzi wa form 1.

Tuesday, 31 March 2015

FAST AND FURIOUS 7-TRAILER

Hii ni moja ya filamu kali ya kimarekani inayo kubadilika pande nyingi za dunia.Japo waigizaji wa filamu hii wamempoteza mmoja wa muigazaji mwenzao karibuni  ila bado wanajitahidi kufanya juu chini ili kuwafurahisha mashabiki zao hivyo wame amua kutoa  filamu nyingine FAST 7 ambayo ita achiwa rasmi tarehe 4 april

GET TO KNOW THIS

Wengi tumekuwa na maswali juu ya jux na vanessa mdee je wapo pamoja au laa! ila hii  ni sauti katika moja ya interview na sudi pata kujua baadhi ya ukweli kuhusu wawili hawa
skiliza alaf majibu utajipa mwenyewe juu ya wawili hawa

Unazipenda Mark X? kama unapesa unaweza kucheki na hii ya 2014.

Ukiitegesha camera kwenye kona mbalimbali za Tanzania lazima jioni itakuletea hesabu kubwa ya picha za Toyota Mark X ambazo ni gari za kifahari kutoka kwa Mjapan

noma sana hii mashine speed 120 kwenye kona

WAZAZI KATIKA SHULE ANAYOSOMA MTOTO WA RAPPER JAY Z NA BEYONNCE,WALALAMIKA

Wazazi katika shule anayosoma mtoto wa beyonce na jay z huko hollywood nchini marekani wamechukizwa na kitendo cha blue ivy kuchukuliwa na kupelekwa na  magari sio chini ya mawili na bodguards kila siku


wazazi wengine wameona iyo ni kero kubwa kwani mtoto huyo anabaki akishangawa na wenzake kila mara anapofika shule

japo shule niya watu wazito ila kwa blue ivy imezidi

JACK'S LETTER

Wakati akiendelea kutumikia kifungo akiwa jela huko Macau, Hong Kong nchini China, modo maarufu Bongo, Jacqueline Fitzpatrick Cliff  ‘Jack Patrick’ amenena mazito juu ya Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Juma Khalid ‘Jux’, Vanessa Mdee, Aunt Ezekiel na Moze Iyobo.


BARUA KUTOKA CHINA
Jack aliyekamatwa nchini humo kwa msala wa madawa ya kulevya ‘unga’ mwaka 2013 kisha kufungwa miaka sita kwenye Gereza la Macau, hivi karibuni alilitumia gazeti hili barua nzito akionesha kushtushwa na vitu fulani vya mastaa hao.
MIMBA YA AUNT
Moja kati ya mambo yaliyomshtua Jack ni mimba ya mwigizaji Aunt Ezekiel ambaye ni mke wa mtu, Sunday Demonte anayodaiwa kupachikwa na mcheza shoo wa Diamond, Moze Iyobo.
Hata hivyo, katika skendo hiyo, Jack aliwataka watu wamuache Aunt apumzike kwani mapenzi hayachagui hasa kama ana furaha.


“Nimeshtushwa na udaku special Lol! Sasa Aunt ameamua kutulia na Iyobo…acha apumzike mapenzi hayachagui as long as ndiyo furaha yake, that’s okey,” aliandika Jack.

DIAMOND, ZARI
Mbali na mimba hiyo ya Aunt inayoelekea kuzaa matunda muda si mrefu, modo huyo alionesha kushtushwa na penzi la staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz na Zari akishangaa ilikuwaje hadi jamaa huyo akaachana na Wema Sepetu kisha kutua kwa mrembo huyo mwenye maskani yake nchini Afrika Kusini na Uganda.
“Heh! Kwani Diamond aliachana na Wema tena?” Alihoji Jack na kuongeza:
“Sasa Zari si anakaa South Africa ‘Sauzi’? Wanaonana vipi na Platnumz? Mh! Wala hawatadumu maana mapenzi ya mbalimbali. Labda kama Nasibu (Diamond Platnumz) atahamia South.

 JUX, VANESSA
Jack alipofika kwenye ishu ya kusalitiwa na staa wa Bongo Fleva, Jux akidaiwa kuwa kwenye malovee na sexy lady wa muziki wa Kizazi Kipya, Vanessa ‘Vee Money’, aliandika ishu hiyo kwa hisia zaidi huku akijilaumu mwenyewe kwa kosa alilofanya.

 Ya Jux na Vanessa nimeamua tu kuyaacha coz nipo jela siwezi kumzuia kufanya lolote then ni makosa yangu yaliyofanya hayo yote kutokea.“Sijui hata kama itakuja kutokea tena kuwa wote tena mimi na yeye, that chapter closed already, nahesabia muda mfupi tu now nitatoka lakini sina chochote cha kufanya nionane naye,” alimalizia kuandika Jack. Jack Patrick alihukumiwa kifungo hicho mwaka jana lakini taarifa zilieleza kuwa endapo ataonesha nidhamu gerezani ataachiwa mapenzi hivyo hatakaa jela miaka yote sita
 

Monday, 30 March 2015

DESMOND

This is  one of the models during apex bash 2014,and everything on him  has been designed by detricia dennis in which everybody made noises as he climbed on the stage

Saturday, 28 February 2015

Kitu gani kinamtofautisha Diamond Platnumz na wasanii wengine Tanzania:DIAMONDPLATNUMZ!!!!!




Mafanikio makumbwa ya msanii wa Afrika kutoka Tanzania ..Nahseeb Abdul(Diamondplatnumz)
Yamewafanya watu wengi wakiwemo mashabiki na wapenzi wa muziki Afrika na duniani kutochoka kumwangalia kijana huyu ambaye ni incredible indeed...
kutoka katika maisha ya kimaskini katika mji wa Dar es salaam...kijana huyu mtafutaji na muangaikaji...amepitia vikwazo vingi,ambavyo vilimjenga na hadi sasa hivi kuwa kati ya wasanii wakali barani Africa.Labda tusizunguke sana na twende moja kwa moja kwenye Topic hii...Je?..ni kwanini msanii huyu niwa tofauti sana barani Afrika na Tanzania pia...na kwanini kijana huyu anamaendeleo...na nivipi anafanya vizuri na kumaintain status zake na kuwafanya wasanii conservative wa Tanzania..wawe bumbu wazi...?....Majibu yako ni haya hapa:
1.Kujituma, kujitoa,na kutokata tamaa kwa huyu msanii wa kitanzania...Toka aanze muziki wake alikuwa hana uwezo wakifedha wala support kubwa sana..lakini kutokana na juhudi zake..na  sacrifies alizozifanya kwenye maisha yake imemfanya afike mbali katika muziki wake na kuwa mfano mkubwa mbele ya wasanii wenzake nchini Tanzania.
2.Ubunifu wa mwanamziki huyu pia unamfanya awe msanii mkali Tanzani.Ukiangalia mashairi na nyimbo zake kuanzi Kamwambie,mbagala,lala salama,moyo wangu,ukimwona na nyingine nyingi...kupitia ubunifu na style yake yakuimbia..msanii huyu amekuwa watofauti sana na kuwa wa pekee katika nyimbo zake na kazi yake ya muziki kiujumlaa.
3.Maelewano mazuri na Mameneja na uongozi wake.
jambo ili limemfanya Diamond platnumz,aweze kuwa msanii wakuigwa..ukiwa na mahusiano mazuri na meneja na uongozi wako ..basi lazma utafanikiwa tu..kwani hawandio wanao kutambulisha na kukuongoza katika safari yako ya mafanikio..
4.Kujielewa na kujua anataka nini katika nyimbo,video na maisha.
..Hii ni tofauti na wasanii wengi Tanzania..ambao wakisha pata fedha chache basi ujikuta kama mabilionea..nakuanza kutanua na starehe...jambo ambalo lina wafanya wasiendelee katika tasnia zao za muziki...hiki nitofauti kwa msani wetu Diamond kwani yeye hajarizika na mafanikio yake madogo...kila siku ya mungu kijana huyu ujituma na kutafuta opportunities mpya katika muziki na video zenye quality na plot nzuri...jambo amabalo limemfanya afike kwenye chanel za luninga za mbali kama Trace International,BET,Channel O,na nyingine nyingi duniani...

5.Kujitoa na kutodharau ushauri anaopewa nakuheshimu wasanii wengine.
......Huyo ndo diamond platnumz Tunamuombea safari ndefu na yenye mafanikio maisha ni mwake....

VIJANA WATAFUTAJI



this is new africa...thats how we love it and thats the way we did it....
the Bash was hot ...the models..the people...all that feeling....we did it.....



Tuesday, 27 January 2015

detty fashions

Meet one of the amazing designer detricia dennis and get to know her amazing work of designing several stuffs and she is just a high school student