politics

Thursday, 2 April 2015

FLOYD MAYWEATHEER KAMNUNULIA MWANAE WA MIAKA 14 ZAWADI YA GARI

http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/flo1.jpgSasa pamoja na utajiri wa magari aliokuwa nao Mayweather ameamua kumnunulia binti yake wa kike mwenye miaka 14 gari ya kifahari aina ya  Rolls Royce yenye thamani ya dola za Kimarekani laki nne.
fusBinti yake Obi Okeke alifafanua kuwa baba yake alimwita na kumwagizia gari hiyo huku akisema itakuwa ikisimamiwa na mama yake lakini mtoto huyo atakua huru kuitumia wakati wote.
floyd
Mayweather na mtoto wake.

No comments:

Post a Comment