politics

Tuesday, 31 March 2015

Unazipenda Mark X? kama unapesa unaweza kucheki na hii ya 2014.

Ukiitegesha camera kwenye kona mbalimbali za Tanzania lazima jioni itakuletea hesabu kubwa ya picha za Toyota Mark X ambazo ni gari za kifahari kutoka kwa Mjapan

noma sana hii mashine speed 120 kwenye kona

No comments:

Post a Comment